Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ulaya Mashariki inazalisha wachezaji katili sana. Wanazaliwa mabeki walioundwa kwa miguu ya chuma na miili ya zege lakini Ulaya Kaskaini wanazaliwa washambuliaji halisi.
Ulaya Mashariki inazalisha wachezaji katili sana. Wanazaliwa mabeki walioundwa kwa miguu ya chuma na miili ya zege lakini Ulaya Kaskaini wanazaliwa washambuliaji halisi. Tangu zamani kwa akina Michael Laudrup wa Barcelona, Ole Gunner Solksjaer, Tore Andre Flo wa Chelsea hadi sasa kwa akina Erling Halaand na Rasmus Højlund bado Ulaya Kaskazini wanazaliwa washambuliaji halisi.. Hojlund ni bonge la straika
Chanzo: www.tanzaniaweb.live