Wed, 17 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Refa kutoka Poland Szymon Marciniak ameteuliwa kushika uongozi wa mechi kati ya City vs Real Madrid huko Etihad Jumatano hii
Mechi za za msimu huu alizosimamia akiwa kama Refa wa mechi kwenye michuano ya ya (UCL).
Matches: 5
Wins: 2
Draws: 2
Lose: 1
Kila mara anapoongoza mchezo wa Real Madrid, Madrid huishia kushinda UCL kuanzia msimu wa ( 2016/ 2017/ 2018 na 2022) sasa swali la msingi ni je Madrid leo atashinda mbele ya Man City Etihad?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live