Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kuziona Simba vs Gendarmerie buku tatu tu

Simba Vs Gend Kuziona Simba vs Gendarmerie buku tatu tu

Sat, 26 Mar 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Wawakilishi wa Tanzania Kimataifa Klabu ya Simba watacheza hmchezo wa mwisho hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika Aprili 3 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam dhidi ya US Gendarmerie.

Sasa kiingilio cha chini katika mchezo huo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho ni Tsh 3000.

Bei nyingine ni kama zinavyoonekana kwenye Jedwali hapa chini;

Chanzo: www.tanzaniaweb.live