Sat, 26 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wawakilishi wa Tanzania Kimataifa Klabu ya Simba watacheza hmchezo wa mwisho hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika Aprili 3 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam dhidi ya US Gendarmerie.
Sasa kiingilio cha chini katika mchezo huo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho ni Tsh 3000.
Bei nyingine ni kama zinavyoonekana kwenye Jedwali hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live