Timu ya Ihefu Fcinayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBCPL) imezidi kuporomoka kiwango na kufanya vibaya kila mchezo.
Ihefu tangu waifunge Yanga, Oktoba 4, 2023 kwa ushindi wa mabao 2-1, hawajashinda tena mchezo mwengine wowote katika michezo (7) iliyofuata mapaka sasa.
Ihefu 2 - 1 Yanga (ushindi)
Ihefu 0 - 1 KMC (kufungwa)
Ihefu 1 - 1 Prisons (sare)
Ihefu 1 - 2 Simba (kufungwa)
Ihefu 2 - 2 Singida (sare)
Ihefu 1 - 3 Azam (kufungwa)
Ihefu 0 - 2 Namungo (kufungwa)
Ihefu 1 - 1 JKT Tanzania (sare)
Ihefu katika Msimamo ipo katika timu ambazo zipo hatarini na kushuka daraja ikiwa imeshacheza Michezo 11 na kuvuna alama 9 pekee ikishika nafasi ya 13 kati ya timu 16.
Matokeo ya jana katika mzunguko wa 11:-
Full — JKT Tanzania 1 - 1 Ihefu
⚽️ Said Ndemla — 14'
⚽️ Ismail Mgunda — 16'
Full - Geita gold 1 - 0 Namungo
⚽️ Valentino Mashaka — 78'.