Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hivi karibuni Kama ulipita kwenye page ya timu ya Yanga Princess utakuwa umemuona mwanadada wa kizungu kutoka Marekani “Kaeda Wilson” akifanya mazoezi na timu hiyo.
Hivi karibuni Kama ulipita kwenye page ya timu ya Yanga Princess utakuwa umemuona mwanadada wa kizungu kutoka Marekani “Kaeda Wilson” akifanya mazoezi na timu hiyo. Yanga wameamua kuweka kiingilio cha Tsh. 1000 siku ya kesho mashabiki wanaotaka kwenda kuangalia Mazoezi ya Mwanadada huyo wa kizungu raia wa Marekani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: