Sun, 27 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Alfajiri ya Leo Klabu ya Inter Miami anayoichezea Staa Lionel Messi ilicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Marekani dhidi ya New York Red Bulls.
Mchezo wa New York Red Bulls dhidi ya Inter Miami uliudhuriwa na mashabiki 26,276.
Tiketi ya bei rahisi zaidi iliyouzwa katika mchezo huo ilikuwa $480 (sawa na TSH 1,203,100)
Katika mechi hiyo Lionel Messi, alianza benchi na Mashabiki wa NY Red Bulls waliimba: “Tunamtaka Messi”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live