Sat, 6 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa Kiungo Babacar Sarr raia wa Senegal kama Mchezaji huru baada ya kuachana na Monastir ya Tunisia.
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa Kiungo Babacar Sarr raia wa Senegal kama Mchezaji huru baada ya kuachana na Monastir ya Tunisia. Kabla ya kuja Simba akiwa na Monastir walishiriki Arab Club Champions Cup na kucheza na Al Nassr mchezo ambao walifungwa mabao 4-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live