Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kuiona Simba, Nkana buku tatu tu

32208 Pic+kiingilio TanzaniaWeb

Tue, 18 Dec 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Simba imetangaza viingilio vya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana Red Devil's huku kiingilio cha chini kikiwa Sh3000.

Simba itaikabili Nkana ya Zambia katika mchezo wa marudiano wa Mabingwa Afrika utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Wekundu wa Msimbazi wanatakiwa kushinda kuanzia mabao 2-0 ili kufuzu hatua ya makundi ya mashindano hayo.

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara alisema VIP A kiingilio kitakuwa sh 20000, VIP B. Sh 10000 na mzunguko 3000.

"Tumetangaza viingilio vya chini na rafiki kwa kila mtu watu waje kwa wingi kuisapoti timu.



Chanzo: mwananchi.co.tz