Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aubin Kramo kurejea uwanjani Januari mwakani kwa mujibu wa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally.
Ahmed ameyasema hayo leo Novemba 28, 2023, alipokuwa akizungumzia ujio wa kocha wao mpya, Abdelhak Benchikha.
"Kramo amemaliza matibabu na mapumziko ya mwezi wa kwanza, anakwenda kwenye matibabu na mapumziko ya mwezi wa pili hivyo tumtegemee rasmi kurejea uwanjani Januari mwakani," alisema Ahmed.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live