Fri, 9 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Chelsea Mateo Kovacic amefikia makubaliano ya masharti binafsi juu ya kujiunga na Manchester City.
Kiungo wa Chelsea Mateo Kovacic amefikia makubaliano ya masharti binafsi juu ya kujiunga na Manchester City. Kovacic (29) raia wa Croatia amebakisha mwaka mmoja kwenye mkataba wake ndani ya Chelsea huku miamba hiyo ya Stamford Bridge ikiwa haina kipingamizi juu ya kumpiga bei nyota huyo wa zamani wa Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live