Fri, 14 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Chelsea, Frank Lampard amesema mlinizi wake wa Kati Koulibaly atakuwa nje kwa muda wa wiki kadhaa kutokana na jeraha la misuli ya paja alilopata kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid.
Katika mchezo huo Chelsea walikubali kichapo cha mabao 2-0 katika Uwanja wa Santiago Bernabeu.
Jeraha hili litamfanya kukosa mchezo wa ligi kuu dhidi Brighton kesho jumamosi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live