Tue, 5 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa zamani wa Napoli, Chelsea na Timu ya Taifa ya Senegal ambae kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Al Hilal ya Saudi Arabia Kalidou Koulibaly ameelezea tabia njema za Rai wa Italia wakati akicheza katika Ligi ya Serie A.
Akizungumza Koulibaly anasema;
"Nilipofika Napoli, nilikuwa mweusi lakini pia Muislamu. Na walikubali hilo. Walitupa chakula cha halali tunachotakiwa kupewa, lakini pia Mpishi alikuwa akiamka asubuhi na kutuandalia chakula kizuri wakati wa Ramadhani. Italy ni watu waelewa sana"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live