Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

"Kombe letu la Shirikisho tunalipendea" - Ahmed Ally

Simba Ahmed Mashabiki Ahmed Ally.

Thu, 30 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

"Kombe letu la Shirikisho tunalipendea" Ahmed Ally ambaye ni afisa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii.

Ahmed ameyasema hayo ikiwa ni siku chache baada ya Klabu ya Simba kudondokea katika Mashindano hayo ya pili kwa ukubwa Barani Afrika ikimaliza msimu wa 2023\24 kwa kuambulia nafasi ya tatu nyuma ya Azam Fc na Mabingwa Yanga Sc

Unaipa nafasi gani Simba katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika msimu ujao?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live