Thu, 28 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kombe la Afcon 2023 litakalowania na timu za mataifa 24 ikiwemo Tanzania litatua nchini Desemba 1-4 mwaka huu ambapo wananchi watapata nafasi ya kulishuhudia.
Kombe la Afcon 2023 litakalowania na timu za mataifa 24 ikiwemo Tanzania litatua nchini Desemba 1-4 mwaka huu ambapo wananchi watapata nafasi ya kulishuhudia. Fainali za AFCON 2023 zitafanyika nchini Ivory Coast kuanzia Januari mwakani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live