Wed, 30 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa klabu ya Eintracht Frankfurt Kolo Muani amegoma kufanya mazoezi na kikosi cha Frankfurt asubuhi ya Leo akishinikiza kuuzwa.
Mshambuliaji wa klabu ya Eintracht Frankfurt Kolo Muani amegoma kufanya mazoezi na kikosi cha Frankfurt asubuhi ya Leo akishinikiza kuuzwa. Jana kwenye vyombo vya habari vya Ujerumani Muani alieleza wazi kuwa anataka Kuhamia kwa matajiri wa Ufaransa PSG.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live