Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa zamani wa klab ya Yanga na timu ya taifa ya Gambia Tom Saintfiet ametangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Ufilipino.
Kocha Mkuu wa zamani wa klab ya Yanga na timu ya taifa ya Gambia Tom Saintfiet ametangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Ufilipino. Kocha huyo aliiongoza Gambia katika michuano ya AFCON iliyomalizika mwezi uliopita nchini Ivory Coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live