Sat, 25 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Gor Mahia FC wamethibitisha kwamba aliyekuwa kocha wa AFC Leopards Patrick Aussems ametuma ombi la kufundisha klabu hiyo.
Kumbuka Gor Mahia Wawakilishi Kenya Katika mashindano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE msimu ujao.
Aussems AMEWAHI KUIFUNDISHA SIMBA Kwa mafanikio makubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live