Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Morley Byekwaso Ochama ambaye ni Kocha msaidizi wa SC Villa ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa timu ya taifa ya Uganda mpaka oktoba 31,2023 na hii ni baada ya Aliyekuwa kocha Mkuu wao raia wa Serbia Kufutwa kazi.
Morley Byekwaso Ochama ambaye ni Kocha msaidizi wa SC Villa ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa timu ya taifa ya Uganda mpaka oktoba 31,2023 na hii ni baada ya Aliyekuwa kocha Mkuu wao raia wa Serbia Kufutwa kazi. Ochama atasaidiwa na Fred Muhumuza ambaye atakuwa kocha msaidizi wa kikosi hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live