Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa timu ya wanawake ya Zimbabwe Shadreck Mlauzi amewekwa rumande baada ya kushtakiwa kwa kosa la kumpiga mfanyakazi wa kike wakati wa mashindano nchini Afrika Kusini.
Kocha mkuu wa timu ya wanawake ya Zimbabwe Shadreck Mlauzi amewekwa rumande baada ya kushtakiwa kwa kosa la kumpiga mfanyakazi wa kike wakati wa mashindano nchini Afrika Kusini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live