Mchezaji na Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi ametangazwa na Shirikisho la soka nchini Argentina kwamba atasikosa mechi mbili za kirafiki hiyo ni baada ya kuumia kwenye mchezo uliyopita wa Ligi Kuu Marekani MLS dhidi ya Nashville
Mchezaji na Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi ametangazwa na Shirikisho la soka nchini Argentina kwamba atasikosa mechi mbili za kirafiki hiyo ni baada ya kuumia kwenye mchezo uliyopita wa Ligi Kuu Marekani MLS dhidi ya Nashville Argentina watacheza michezo ya kirafiki dhidi ya El Salvador siku ya Jumamosi kisha dhidi ya Costa Rica Jumatano