Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha wa klab ya Singida Fountain gate raia wa Unerumani Ernest Middendorp, amejiunga na klabu ya Cape Town Spurs ya nchini Afrika ya Kusini.
Aliyekuwa kocha wa klab ya Singida Fountain gate raia wa Unerumani Ernest Middendorp, amejiunga na klabu ya Cape Town Spurs ya nchini Afrika ya Kusini. Ernest Middendorp alivunja Mkataba na Singida siku chache tangu alipotangazwa kukikoa kikosi hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live