Mon, 16 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka nchini Morocco limemteua Jorge Vilda kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya wanawake ya Morocco.
Shirikisho la soka nchini Morocco limemteua Jorge Vilda kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya wanawake ya Morocco. Jorge Vilda alishinda Kombe la Dunia la wanawake akiwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Hispania 2023 kabla ya kuoneshwa mlango wa kutokea miezi michache iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live