Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa kikosi cha Wydad AC Adil Ramzi anaamini kuwa Mamelodi Sundowns waalifanikiwa zaidi kwenye eneo la kupoteza muda.
Kocha mkuu wa kikosi cha Wydad AC Adil Ramzi anaamini kuwa Mamelodi Sundowns waalifanikiwa zaidi kwenye eneo la kupoteza muda. Adili anaamini uzoefu walioupata Mamelodi Sundowns wakati wakishiriki michuano mikubwa Barani Afrika ndio iliyowafanya watumie mbinu nyingi za kupoteza muda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live