Tue, 15 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Wolves Gary O'Neil akijibu mzozo wa VAR usiku wa leo katika mchezo wa Man United dhidi ya Wolves.
Meneja wa Wolves Gary O'Neil akijibu mzozo wa VAR usiku wa leo katika mchezo wa Man United dhidi ya Wolves. âNimezungumza na Jon Moss na ameomba msamaha kwa kusema ilikuwa ni adhabu ya wazi,hakuamini kuwa refa hakutoa adhabu na VAR haikuingilia kati.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live