Fri, 15 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Hemed Morocco amezungumza na juu ya hatma ya mchezaji Dickson Job.
"Mimi na Job tumezungumza yameisha salama waheshimu maamuzi ya Mwalimu, Nikiamua kusema hatumsaidii Job, Mimi nam-protect ni mchezaji mzuri, Watu wangeliacha kama lilivyo nikilitolea ufafanuzi nitamuua huyo. Nimeamua kumpumzisha kafanya makosa tumesameheana".
Msikilize Kocha Hemed Morocco akizungumza hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live