Kocha Mkuu wa Tottenham Hotspur Ange Postecoglou amefikisha michezo 50 bila kupoteza akiwa katika kiwanja cha nyumbani kwa miaka mitatu mfululizo, Kocha huyo mpya wa Spurs mara ya mwisho kupoteza mchezo alikuwa akikinoa kikosi cha klabu ya Yokohama F. Marinos ya Japan mnamo mwaka 2020.
Kocha Mkuu wa Tottenham Hotspur Ange Postecoglou amefikisha michezo 50 bila kupoteza akiwa katika kiwanja cha nyumbani kwa miaka mitatu mfululizo, Kocha huyo mpya wa Spurs mara ya mwisho kupoteza mchezo alikuwa akikinoa kikosi cha klabu ya Yokohama F. Marinos ya Japan mnamo mwaka 2020. Unadhani timu gani EPL inaweza kuvunja rekodi ya Mwamba Postecoglou pale Tottenham Hotspur Stadium...!!???