Fri, 17 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba inashuka dimbani kesho Disemba 18 kuvaana na Kagera Sugar, katika ,mchezo wa Ligi Kuu Bara kule Kaitaba.
Mchezo huo ni wa raundi ya tisa wa Ligi ya NBC.
Tazama video hapa chini umsikie kocha wa Simba Selemani Matola akizungumza kuelekea mchezo huo.
Kocha Matola amegusia maandalizi, hali ya wachezaji nk
???? Kocha Seleman Matola kuhusu mchezo wa kesho dhidi ya Kagera Sugar. #NguvuMoja pic.twitter.com/rcV0tV7HmQ
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) December 17, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live