Sat, 15 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa klabu ya Simba Sven Vandebroek amejiunga na klabu ya Zulte Waregem inayoshiriki Ligi daraja la kwanza nchini Belgium.
Kocha wa zamani wa klabu ya Simba Sven Vandebroek amejiunga na klabu ya Zulte Waregem inayoshiriki Ligi daraja la kwanza nchini Belgium. Ikumbukwe klabu hiyo inammiliki nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi ambaye kwasasa yupo kwa mkopo kwenye klabu ya Shaktar Donetsk.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live