Sat, 2 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa Simba Sc Sven Vandenbroeck ambaye kwa sasa anaifundisha CR Belouizdad amekutana na vijana wake Jonas Mkude na Kennedy Juma ambao wapo kwenye majukumu ya timu ya Taifa ya Tanzania.
Kocha wa zamani wa Simba Sc Sven Vandenbroeck ambaye kwa sasa anaifundisha CR Belouizdad amekutana na vijana wake Jonas Mkude na Kennedy Juma ambao wapo kwenye majukumu ya timu ya Taifa ya Tanzania. Mkude kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live