Wed, 31 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliou Cissé ambaye ni Kocha wa timu ya Taifa ya Senegal amesema Taifa hilo kutolewa kwenye hatua ya 16 Bora AFCON kwao ni aibu kubwa kwani walishajiandaa kulibeba kombe hilo
Aliou Cissé ambaye ni Kocha wa timu ya Taifa ya Senegal amesema Taifa hilo kutolewa kwenye hatua ya 16 Bora AFCON kwao ni aibu kubwa kwani walishajiandaa kulibeba kombe hilo “Tumeumia sana kupoteza ,na hii ni kwa wachezaji na hata watu waliopo Senegal kwa sababu imani yetu ilikuwa kushinda hili taji ,kulikosa ni aibu kwetu” amesema Cissé
Chanzo: www.tanzaniaweb.live