Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Napoli imemfuta kazi mkufunzi Rudi Garcia (59) raia wa Ufaransa kama kocha mkuu klabuni hapo kufuatia mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo ya Serie A.
Klabu ya Napoli imemfuta kazi mkufunzi Rudi Garcia (59) raia wa Ufaransa kama kocha mkuu klabuni hapo kufuatia mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo ya Serie A. Kocha wa zamani wa Napoli, Inter Milan na Watford, Walter Mazzari (62) raia wa Italia ameteuliwa kuchukua mikoba ya Garcia akirejea klabuni hapo miaka 10 tangu alipoondoka mnamo Mei 20, 2013.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live