Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa hapo kesho Rudi Garcia (kocha wa Napoli) amesema kua "Vinicius Junior ni mchezaji bora zaidi.
Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa hapo kesho Rudi Garcia (kocha wa Napoli) amesema kua "Vinicius Junior ni mchezaji bora zaidi. Licha ya umri wake mdogo, amedhamiria kutoa kilicho bora kila wakati. Lazima tuwe waangalifu naye ."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live