Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Soka la Misri (EFA) limetangaza kuachana na Kocha raia wa Ureno, Rui Vitoria baada ya Timu hiyo kushindwa kufanya Vizuri AFCON23.
Shirikisho la Soka la Misri (EFA) limetangaza kuachana na Kocha raia wa Ureno, Rui Vitoria baada ya Timu hiyo kushindwa kufanya Vizuri AFCON23. Nafasi yake itachukuliwa na Mohamed Youssef kama kocha mkuu wa muda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live