Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa klabu ya Medeama Evans Augustin amesema anaijua vizuri Yanga na ameifuatilia na kukiri kuwa timu hiyo inacheza vizuri lakini yeye atacheza kwa kuwaheshimu.
Kocha wa klabu ya Medeama Evans Augustin amesema anaijua vizuri Yanga na ameifuatilia na kukiri kuwa timu hiyo inacheza vizuri lakini yeye atacheza kwa kuwaheshimu. Yanga ina saka alama tatu (3) za kwanza baada ya michezo miwili (2) iliyopita kuambulia alama moja pekee.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: