Tue, 23 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Bayern Munich wamefanya mazungumzo na kocha wa zamani wa Manchester United, Ralf Rangnick kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Thomas Tuchel atakayeondoka baada ya msimu kuisha.
Klabu ya Bayern Munich wamefanya mazungumzo na kocha wa zamani wa Manchester United, Ralf Rangnick kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Thomas Tuchel atakayeondoka baada ya msimu kuisha. Sky Germany imeripoti taarifa hiyo ikisema na kocha wa Brighton, Roberto De Zerbi nae anatajwa kuwaniwa na timu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live