Sat, 2 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
"Sundowns imeshathibitisha kuwa ni moja ya klabu kubwa hapa Afrika na tutashinda Ligi ya mabingwa. Kiuhalisia tutashinda Ligi ya mabingwa".
"Sundowns imeshathibitisha kuwa ni moja ya klabu kubwa hapa Afrika na tutashinda Ligi ya mabingwa. Kiuhalisia tutashinda Ligi ya mabingwa". "Kitu tunachotakiwa kuhakikisha ni kiwango chetu kuwa kizuri, mwendelezo bora, na kupambana kila siku ili kujiweka kwenye hiyo nafasi". Rulani Mokwena, Kocha mkuu wa Mamelodi Sundowns.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live