Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Klabu ya Kaizer Chiefs kumfuta kazi kocha wake mkuu Molefi Ntseki kutokana na matokeo mabaya ambayo wamekuwa wanayopata toka msimu huu umeanza
Hizi Hapa Takwimu za Kaizer Chiefs katika michezo 7:
Vs 1-1 Sundowns
Vs 0-0 Royal AM
Vs 0-1 SuperSport
Vs 1-2 Sundowns
Vs 2-1 Sekhukhune
Vs 0-1 Cape Town City
Vs 0-1 AmaZulu
Michezo 7
Ushindi 1
Sare / suluhu 2
Kupoteza 4
Na sasa klabu hiyo imemtambulisha mwalimu mpya.
Cavin Johnson ndio kocha wao mkuu wa klabu hiyo akichukua nafasi ya Molefi Ntseki. Johnson atasidiwa na Dillon Sheppard,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live