Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa klabu ya Inter Miami Tata Matino amesema kuwa mshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona Luis Suarez yuko katika mipango ya klabu hiyo kwa msimu ujao, mshambuliaji huyo ataungana tena na rafiki yake mkubwa Leo Messi.
Kocha wa klabu ya Inter Miami Tata Matino amesema kuwa mshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona Luis Suarez yuko katika mipango ya klabu hiyo kwa msimu ujao, mshambuliaji huyo ataungana tena na rafiki yake mkubwa Leo Messi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live