Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kocha Edina Lema atimuliwa Yanga Princess

Lema Edina Yanga.jpeg Kocha Edina Lema atimuliwa Yanga Princess

Thu, 8 Dec 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Uongozi wa Klabu ya Yanga umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa Yanga Princess Edna Lema na Kocha Msaidizi, Mohammed Hussein leo Disemba 8, kutokana na matokeo mabaya waliyoyapata kwenye mchezo wao dhidi ya Fountain Gate Princess kwa kupoteza 1-0.

Aidha Klabu ya Yanga  inawashukuru na kuwatakia kila la heri katika majukumu yao mengine huku wakidai hivi karibuni watangaza mbadala wa nafasi hizo hivi karibu.

ikumbukwe kuwa kocha huyo ambaye aliewezesha  timu hiyo ya Yanga Princess kumaliza katika nafasi ya pili katika ligi ya wanawake wakati kombe likichukuliwa tena na watani wao Simba.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live