Thu, 7 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa Coastal Union baada ya kupata sare dhidi ya Azam FC amelalamika kutokupewa uwanja wa Chamanzi kufanyia mazoezi kwa siku mbili.
Kocha Mkuu wa Coastal Union baada ya kupata sare dhidi ya Azam FC amelalamika kutokupewa uwanja wa Chamanzi kufanyia mazoezi kwa siku mbili. Kocha huyo amesema wao Tanga wako vizuri sana, wageni wakija wanawapa kiwanja kufanya mazoezi kila wanapohitaji lakini kwao imekuwa tofauti siku mbili zote ambazo wapo hapa Dar es Salaam hawajapewa uwanja kufanyia mazoezi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live