Fri, 25 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Brazil “Tite” amewatoa hofu mashabiki kuhusu Neymar baada ya kupata jeraha kwenye enka kwenye mchezo wa jana dhidi ya Serbia.
"Msijali, Neymar atacheza Kombe la Dunia. Ataendelea kucheza, unaweza kuwa na uhakika na hilo”. Alisema Tite.
Licha ya Tite kutoa kauli hiyo juu ya Neymar lakini bado vyanzo mbalimbali vimekuwa vikitoa ripoti ya kuwa huenda nyota huyo “Neyrmar” akakosa michoz kadhaa kutokana na jeraha lake kuwa kubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live