Kocha wa Bayern Munich, Thomas Tuchel amelalamika wachezaji wake kupunguza umakini na kujikuta wakipata idadi ndogo ya magoli kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya FC Rottach-Egern hapo jana.
"Tumeshinda Idadi ndogo ya mabao timu yetu imecheza chini ya kiwango bao 27-0 ni chache sana kipindi cha pili tumekosa ukatili kabisa sijaridhishwa na idadi ndogo ya mabao tuioyapata," amesema Tuchel.
Mpaka halftime Bayern walikuwa mbele kwa mabao 18-0, na mpaka dakika ya 90, Bayern 27-0 FC Rottach-Egern.
Wafungaji;
⚽️ 3" Musiala
⚽️ 5" Gnabry
⚽️ 8" Davies
⚽️ 12" Gnabry
⚽️ 13" Musiala
⚽️ 20" Laimer
⚽️ 22" Tel
⚽️ 26" Tel
⚽️ 28" Tel
⚽️ 28" Mazrouri
⚽️ 31" Upmecano
⚽️ 34" Tel
⚽️ 34" Sane
⚽️ 37" Musiala
⚽️ 41" Tel
⚽️ 42" Musiala
⚽️ 43" Gnabry
⚽️ 45" Musiala
⚽️ 50" Sabitzer
⚽️ 64" Sabitzer
⚽️ 66" Sabitzer
⚽️ 71" Sabitzer
⚽️ 72" Sabitzer
⚽️ 74" Guereirro
⚽️ 84" Gravenberch
⚽️ 86" Coman
⚽️ 90" Sane.