Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa kikosi cha timu ya Taifa ya Argentina Lionel Scalon amechukizwa na maswali ambayo amekuwa akiulizwa kuhusu muda ambao nyota wake Lionel atastaafu kucheza soka.
Kocha mkuu wa kikosi cha timu ya Taifa ya Argentina Lionel Scalon amechukizwa na maswali ambayo amekuwa akiulizwa kuhusu muda ambao nyota wake Lionel atastaafu kucheza soka. Scalon amesema kama Lionel Messi akiwa sawa anaweza kumtumia kwa asilimia mia na akawapatia matokeo hivyo wanaohoji wajue tu kwamba bado Messi ataendelea kuitumikia Argentina.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live