Kocha wa Al Ahly, Marcel Koller kupitia ukurasa wake wa Insta story ameshare picha akiwa karibu na TV yake ikionyesha kuwa alikuwa akiufuatilia mchezo kati Yanga SC dhidi ya Mamelodi Sundowns.
Kwenye picha hiyo ambayo anaoneka alipiga mechi ikiwa kwenye daki Tano za mwisho zilizoongezwa na mwamuzi kocha wa Al Ahly Marcel Koller ameisindikiza na ujumbe unaosomeka "DID YOU ALSO SEE THE GAME" kwa tafsiri "NA WEWE UMEUNAGALIA MCHEZO/MECHI".
Ikumbukwe hata kama ikitokea Al Ahly na Mamelodi Sundowns wakapita kwenye hatua hii hawawezi kukutana kwenye hatua ya Nusu Fainali msimu huu ni mapaka Fainali ikiwa kama wote watapita Nusu fainali.