Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp ametoa onyo baada ya Manchester City kushindwa kukusanya alama 3 ndani ya mechi 4 mfululizo kwenye Ligi Kuu England (EPL).
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp ametoa onyo baada ya Manchester City kushindwa kukusanya alama 3 ndani ya mechi 4 mfululizo kwenye Ligi Kuu England (EPL). "Iwapo kuna mtu atafikiria Man City hawatopambania ubingwa, huo ni utani mkubwa katika historia ya soka."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live