Mon, 26 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Jana kuonesha kiwango safi katika Fainali ya Kombe la Carabao Cup, Kiungo wa Liverpool Wataru Endo ameonekana kumwagiwa sifa na pengine akalamba mkataba mpya Liverpool.
Akimzungumzia mchezaji huyo mara baada ya Fainali ya Carabao Cup, Klopp anasema;
"Nina uhakika kwamba Wataru Endo atasaini mkataba mwingine wa muda mrefu Liverpool".
"Anaweza kuwa na miaka 31 kwenye pasipoti yake lakini ... yeye ni mashine!".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live