Tue, 25 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hivi karibuni klabu ya Pamba ilikabidhiwa katika manispaa ya Jiji la Mwanza na mkuu wa mkoa Mwanza Amos Makalla na sasa rasmi imebadilishwa jina kutoka PAMBA FC hadi PAMBA JIJI FC.
Hivi karibuni klabu ya Pamba ilikabidhiwa katika manispaa ya Jiji la Mwanza na mkuu wa mkoa Mwanza Amos Makalla na sasa rasmi imebadilishwa jina kutoka PAMBA FC hadi PAMBA JIJI FC. Klabu hiyo yenye maskani yake Jijini Mwanza inashiriki ligi ya Championship Tanzania Bara na ni miongoni mwa vilabu vikongwe hapa nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live