Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klab ya Santos ya Brazil imeshuka daraja kwa mara ya kwanza Ligi Kuu ya Brazil baada ya Miaka 111.
Santos ambayo ilimuibua Mfalme wa soka dunia Pele na mshambuliaji hatari Neymar sasa itacheza Second Division nchini Brazil.
Wakati Santos wakishuka Daraja, Klabu ya Palmeiras ndio walioibuka Mabingwa wa Ligi Kuu Brazil.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live