Sat, 17 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA), Gianni Infantino amesema FIFA inakuja na mabadiliko katika uendeshaji wa michuano ya Klabu bingwa ya Dunia.
Rais wa Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA), Gianni Infantino amesema FIFA inakuja na mabadiliko katika uendeshaji wa michuano ya Klabu bingwa ya Dunia. Mfumo mpya wa Klabu bingwa dunia (Club World Cup) utaanza 2025 ambapo klabu 32 zitashiriki na mfumo wake utakuwa kama wa kombe la dunia, na utarajiwa kuwa wa mvuto tofauti na ilivyo hivi sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live