Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja Mashindano TFF, Baraka Kizuguto ameteuliwa na CAF kuwa Mratibu (General Coordinator) wa mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jwaneng Galaxy (Botswana) vs Asec Mimosas (Ivory Coast) utakaochezwa Desemba 9,2023.
Meneja Mashindano TFF, Baraka Kizuguto ameteuliwa na CAF kuwa Mratibu (General Coordinator) wa mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jwaneng Galaxy (Botswana) vs Asec Mimosas (Ivory Coast) utakaochezwa Desemba 9,2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live